Fahamu masuala kadha wa kadha kuhusu uchumi kama vile, namna ya kupambana na umaskini, mfumuko wa bei, kushamiri kwa matumizi ya dola na athari za kuyumba kwa uchumi wa dunia kwa nchi za Afrika. Mada hizi zinafanyiwa utafiti wa kina na zinazungumzwa kwa lugha rahisi inayoeleweka ili kukufanya uelewe na usichoke kusikiliza .
Makala ya Gurudumu la Uchumi juma hili, inaangazia suala la ukopaji na madeni yanayozikabili nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki, na ni baada ya kuibu...
Makala ya Gurudumu la uchumi juma hili, inakuletea mjadala maalumu kuhusu Jinsia, mjadala ulioandaliwa na ubalozi wa Ufaransa na kurekodiwa katika stu...
Makala ya Gurudumu la Uchumi, juma hili, imezungumza na wanawake wawili kati ya wengi nchini Kenya, ambao wanafanya kazi katika huduma za usafiri wa u...
Makala ya Gurudumu la Uchumi, juma hili inaangazia namna bora ya kufanya kilimo chenye tija ambacho kitamsaidia mkulima na nchi za Afrika Mashariki ki...