Afisa Afya
Share:

Listens: 0

About

AfisaAfya ni podcast pekee ya lugha ya Kiswahili itakayokuwa inawaletea mada, mijadala na mahojiano kuhusu afya ya mwanadamu na jinsi ambavyo afya zetu zinaweza kuathiriwa na mazingira tunamoishi, kila siku ya jumapili.

Ukaguzi wa Nyama

Ndugu S. Karata akizungumzia Ukaguzi wa Nyama, Majukumu ya AfisaAfya kama mkaguzi wa nyama, sheria zinazosimamia Ukaguzi wa Nyama, malengo ya ukaguzi ...
Show notes

Homa ya Dengi

Ndugu Swahibu Karata akitoa elimu ya afya kuhusu historia, dalili paka njia za kujikinga na ugonjwa wa homa ya dengi.
Show notes

Ugonjwa wa Listeria

Historia, visababishi, jinsi unavyoenea, makundi ya watu walio hatarini zaidi, madhara lakini pia ni kwa namna gani tunaweza kujilinda na maambukizi y...
Show notes

AfisaAfya

Ndugu Swahibu A. Karata akitoa historia yake fupi lakini pia amegusia kidogo kuhusu AfisaAfya podcast
Show notes