Uhamiaji mijini – Kipindi 06 – Kukabiliwa na vikwazo huku ukiniwa na shinikizo

Share:

Noa Bongo – Uchumi na Mazingira

Uhamiaji mijini – Kipindi 06 – Kukabiliwa na vikwazo huku ukiniwa na shinikizo

Education


Kwa nini Ben anakataa pendekezo zuri kutoka kwa Tingo, ingawa chama kinahitaji fedha? Kipindi kinapofikia tamati, kitu kingine kinaendelea kati ya Ben na Nana.