Nyumba ya Sanaa - Sanaa ya utunzi wa mashairi nchini Tanzania

Share:

Nyumba ya Sanaa

Miscellaneous


Kutana na Mshairi Zawadi Mengele aliyejikuta akifanya Sanaa ya Ushairi baada ya kumzawadia Mama yake shairi lililo amsha hisia ya Malezi. Ungana na mwandishi wetu Steven Mumbi  katika makala ya Nyumba ya Sanaa akizungumza na mshairi huyo akianisha namna anavyopokelewa Tanzania.