Ngano za Afrika – Kipindi 06 – Mfalme asiye na Ufalme

Share:

Learning by Ear – Elimu ya Jamii

Society & Culture


Mwanamke kizee akamwambia Amadou. “Usijiingize katika hali usizoweza kukabiliana nazo! Fuata maagizo yangu.” Lakini wakati mwingine inahitaji uhodari mkubwa mtu kukubali udhaifu wake, kama Amadou atakavyogundua