Mazingira Leo, Dunia Yako Kesho - Serikali ya Tanzania yawafunga tembo vifaa maalum
Miscellaneous
Katika makala haya hii leo tunaangazia hatua ya serikali ya Tanzania kuwafunga Tembo vifaa maalum kwa ajili ya kufuatilia mienendo yao ili kuweza kuwaratibu.

