MAADHIMISHO YA SIKU YA KUPIGA VITA DAWA ZA KULEVYA DUNIANI

Share:

Ikulu Tanzania

Miscellaneous


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akihutubia wakati wa kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Kupiga Vita Dawa za kulevya Duniani tarehe 25 Juni, 2023 yaliyofanyika katika uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha