KITAYAMA AWEKA WAZI MSIMAMO WA JAMII YAKE KUHUSU KITI CHA UGAVANA MIGORI

Share:

Listens: 29

Voice Of Philip Miyawa

News


Mbunge wa Kuria Mashariki Bw. Marwa Kitayama amesema yakwamba jamii ya wakuria wanaoishi katika kaunti ya Migori watachaguwa gavana anayeweza kujali maslahi yao bila kujali misimamo ya vyama.