KITAYAMA ATAKA MBINU MBADALA ITUMIKE KUPAMBANA NA UKEKETAJI

Share:

Voice Of Philip Miyawa

KITAYAMA ATAKA MBINU MBADALA ITUMIKE KUPAMBANA NA UKEKETAJI

News


Kuna haja ya kubadilisha mbinu zinazotumiwa kwa sasa kukabiliana na tabia ya ukeketaji humu nchini. Haya yalisemwa na mbunge wa Kuria Mashariki Marwa Kitayama