Jukwaa la Michezo - Yaliyojiri viwanjani wiki hii barani Afrika na kwingineko duniani

Share:

Listens: 0

Jukwaa la Michezo

Miscellaneous


Miongoni mwa yale tuliyokuandalia Jumamosi hii kwenye Jukwaa la Michezo ni pamoja na , rais  wa Shirikisho nchini DRC Constatine Omar ajiuzulu nchini Rwanda, ligi kuu ya soka  yafika katika hatua ya mwondoano na michuano ya soka, kuwania taji la bara Ulaya inaendelea.