Jukwaa la Michezo - Mashindano ya kukimbiza baiskeli Tour de Rwanda yaanza

Share:

Listens: 0

Jukwaa la Michezo

Miscellaneous


Miongoni mwa matukio makubwa yaliyotokea wiki hii viwanjani ni pamoja na fainali ya klabu bingwa barani Afrika  katika mchezo wa wavu kwa upande wa wanawake lakini pia droo ya robo fainali kuwania taji la klabu bingwa na Shirikisho soka barani Afrika bila kusahau mashindano ya kukimbiza baiskeli ya Tour de Rwanda.