Habari RFI-Ki - Unajikinga vipi na Covid 19 hapo ulipo

Share:

Habari RFI-Ki

Miscellaneous


Serikali ya Uganda imetangaza siku 42 ya kutekelezwa masharti mapya ya kupambana Corona huku kukiripotiwa uhaba wa chanjo Je ,wewe raia unajikinga vipi dhidi ya maambukizi hayo mapya? Je maambukizi hayo mapya ni tishio kwa mataifa ya Afrika Mashariki?