BARAZA LA NCCK LAAHIDI KUENDELEZA UJUMBE WA AMANI MIGORI

Share:

Listens: 20

Voice Of Philip Miyawa

News


Baraza la kitaifa la makanisa hapa nchini NCCK tawi la Migori  limeahidi kuendelea na juhudi zake za kuubiri amani katika kaunti hiyo wakati huu ambapo taifa linaelekea uchaguzi mkuu.